07-08-2017, 11:27 AM
0
*Darasani*
*MWALIMU* angaiko mbona Leo unawaza sana darasani?
*angaiko* kwasababu baba yupo polisi na mama yupo hospitali
*MWALIMU* ooh pole mwanangu, kwa hiyo unahitaji kwenda nyumbani?
*angaiko* ndio MWALIMU
_angaiko akaenda nyumbani, na MWALIMU akawauliza wanafunzi wenzie_
*MWALIMU* kwanini baba Yake angaiko yupo polisi na mama yake yupo hospitali?
*wanafunzi* kwasababu baba yake ni polisi na mama yake ni nesi.
*MWALIMU* pumbavu sana huyu mtoto! Mwiteni arudi
😬😬😬😬
Karibu: www.mwalimuwakiswahili.com
*MWALIMU* angaiko mbona Leo unawaza sana darasani?
*angaiko* kwasababu baba yupo polisi na mama yupo hospitali
*MWALIMU* ooh pole mwanangu, kwa hiyo unahitaji kwenda nyumbani?
*angaiko* ndio MWALIMU
_angaiko akaenda nyumbani, na MWALIMU akawauliza wanafunzi wenzie_
*MWALIMU* kwanini baba Yake angaiko yupo polisi na mama yake yupo hospitali?
*wanafunzi* kwasababu baba yake ni polisi na mama yake ni nesi.
*MWALIMU* pumbavu sana huyu mtoto! Mwiteni arudi
😬😬😬😬
Karibu: www.mwalimuwakiswahili.com